Kambua bado nasimama lyrics


Bado nasimama, bado naendelea
Bado najikaza nifike kulee ×2

Bila neema na rehema zako, ningekuwa wapi mimi
Bila upendo na fadhili zako, maisha yangu yangekuwa bure 
Kwa wema wako kanisimamisha na imani yangu ukaiweka salamaa
Kama si wewe mwamba wa wokovu wangu
Nisingeweza ningeangamia

 

Nainua macho yangu, kwako ewe baba yangu
Msaada wangu utatoka wapi, msaada wangu u katika bwana
Asinzii, anilindae aniachi mimi nitelezee uuuhh
Anipa nguvu na uwezo wake ili mimi nifike kule
Nifike kuleee....

Comments

Popular posts from this blog

Shusho wakuabudiwa lyrics

Ahadi Zake (His Promises) by Marion Shako

Yahwe Uhimidiwe Angela chimbalonza