Umeniandalia Meza lyrics by Marion Shako
Umeniandalia Meza lyrics by Marion Shako
Bwana mchungaji wangu, sitapungukiwa
katika malisho ya majani, mabichi hunilaza
Kwa maji matulivu, yeye huniongoza
Kwa uvuli wa mauti, sitaogopa kamwe
katika malisho ya majani, mabichi hunilaza
Kwa maji matulivu, yeye huniongoza
Kwa uvuli wa mauti, sitaogopa kamwe
Chorus:
Umeniandalia, meza mbele yangu
Machoni pa watesi wangu, Bwana huniongoza
Huisha nafsi yangu, katika njia za haki
Kwa ajili ya jina lako, wewe upo nami
Machoni pa watesi wangu, Bwana huniongoza
Huisha nafsi yangu, katika njia za haki
Kwa ajili ya jina lako, wewe upo nami
Verse 2:
Nimekukimbilia, Baba Mungu wangu
Nisiaibike, mbele za watesi wangu
Wewe upo nami, gongo na fimbo yako
vyanifariji Baba, Sitaogopa kamwe
Nisiaibike, mbele za watesi wangu
Wewe upo nami, gongo na fimbo yako
vyanifariji Baba, Sitaogopa kamwe
(Chorus)
Verse 3:
Umenipaka mafuta, kichwani mwangu
Kikombe kinafurika, machoni pa watesi wangu
Wema nazo fadhili, zitanifuata
Siku zote za maisha yangu, nyumbani mwako milel
Kikombe kinafurika, machoni pa watesi wangu
Wema nazo fadhili, zitanifuata
Siku zote za maisha yangu, nyumbani mwako milel
Comments
Post a Comment