Shusho ongoza lyrics

Hatua za mwenye haki, za ongozwa naye bwana Na bwana hufurahia njia zake wakati wote ×2 Nakukabidhi bwana, njia zangu zote pia nakutumaini najua bwana utafanya Ata nijapo jikwaa, sitaanguka chini Bwana utanishika mkono na kunitengeneza ×2 Umwangazie mtumishi wako, uso wako Maana ninayatamani, maagizo yako Elekeza hatua zangu, kwa neno lako Uovu usije ukanimiliki ×2 Eeh bwana naomba Ongoza hatua zangu eeh bwana Eeh bwana ongoza mwendo wangu Eeh bwana eeh bwana ×9

Comments

Popular posts from this blog

Shusho wakuabudiwa lyrics

Ahadi Zake (His Promises) by Marion Shako

Yahwe Uhimidiwe Angela chimbalonza